UTANGULIZI

Karibuni kwenye maandalizi ya Kongamano la kimataifa la vijana lijulikanalo kama International Youth Conference (IYC) linalotarajiwa kufanyika mkoa Kilimanjaro Kwa watu ambao wako Tanzania tumeandaa utaratibu wa kujisajili kwenye mkoa ulipo na walio nje ya nchi wanao utaratibu wao ambao wameshataarifiwa tayari Kila mkoa una muwakilishi wetu na atakusaidia namna ya kujiandikisha na kufika kwenye Kongamano Hapa chini zipo namba za wawakilishi wetu Na kwa mkoa ambao namba hazipo basi utawasiliana nasi kwa namba zilizopo chini kabisa ili kupata maelekezo..!
Karibuni watu wote.

JISAJILI MTANDAONI LEO


CONTACT INFORMATION OF CHUMA UNOA CHUMA

Njombe Region : +255 623 273 494
Ruvuma Region : +255 62 410 4481
Shinyanga Region : +255 655 236 390
Singida Region : +255 621 650 183
Songwe Region : +255 712 221 067
Tabora Region : +255 68 873 3494
Kinondoni Region : +255 68 321 3730 / +255 746 888 819
Ilala Region : +255 68 904 0846
Kahama Region : +255 754 924 015
Kenya Region : +254 790 135 948
Mkurugenzi mkuu Chuma Hunoa Chuma : +255 758 500 296
Mkurugenzi Mkuu Msaidizi Chuma Hunoa Chuma : +255 789 333 881